Ingia / Jisajili

Nitayakiri Maasi Yangu

Mtunzi: Michael Matai
> Mfahamu Zaidi Michael Matai
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Matai

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Michael Matai

Umepakuliwa mara 1,087 | Umetazamwa mara 3,262

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio - Zaburi 32:5

Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana x2 // Nawe ukanisamehe upotovu wangu; Ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu x2

1. Heri mtu yule aliyesamehewa dhambi, Nakusitiriwa makosa makosa yake; Heri Bwana asiyemuhesabia upotovu, ambaye rohoni mwake rohoni hamna hila.

2. Ndiwe sitara yangu utanihifadhi na mateso; Utanizungusha kwa nyimbo za wokovu.

3. (Terno) Nalikujulisha dhambi dhambi yangu; Wala sikuficha upotovu upotovu wangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa