Ingia / Jisajili

NJONI WANANGU TUSEMEZANE

Mtunzi: Fr. Kulwa G. Paul
> Mfahamu Zaidi Fr. Kulwa G. Paul
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Kulwa G. Paul

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Mazishi | Mwaka wa Huruma ya Mungu

Umepakiwa na: KULWA GEORGE

Umepakuliwa mara 442 | Umetazamwa mara 1,685

Download Nota
Maneno ya wimbo

Njoni Wanangu njoni kwangu tusemezane (njoni); Nami nitasikiliza makosa yenu x2

1. Japokuwa dhambi, dhambi zenu nyekundu sana; nyekundu kama bendera; tangu sasa zitakuwa nyeupe kama sufu na theluji.

2. Ninyi ni wanangu, kama mkikubali kutii; kutii amri zangu; mtakula mema ya nchi ile niliyowaandalia.

3. Na mkitubu dhambi, na kuosha mioyo yenu; iliyojaa damu; na harufu mbaya ya uozo, uozo wa dhambi.

4. Maneno yangu wala si maneno ya hila; si maneno ya chuki; bali maneno ya'amani na upendo asema Bwana.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa