Ingia / Jisajili

Njoo Shina La Yese

Mtunzi: Alcado Z . Mtanduzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Alcado Z . Mtanduzi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Majilio | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 607 | Umetazamwa mara 2,898

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ewe fimbo ya shina la Yese mwokozi masiya/Ewe fimbo ya shina la Yese fanya uje Bwana, (uwaokoe na kila adui/ wautumainio wokovu wako wajalie wayashinde mauti x2 )

Mashairi:

1. Ewe ufunguo wa Daudi tufungulie lango la mbingu.

2. Linda njia iendayo huko sisi tupite bila taabu.

3. Shuka sasa chanzo cha mchana karibia utuchangamshe.

4. Tawanya mashaka ya usiku kiza cha kifo kitokomeze.

5. Mtamaniwa na mataifa unganisha mioyo ya watu.

6. Mgawanyiko sasa na uishe uwe mfalme wa amani.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa