Ingia / Jisajili

Palipo Na Mtawa Pana Furaha

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 356 | Umetazamwa mara 1,792

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

PALIPO NA MTAWA PANA FURAHA 

Kiitikio Kila Baada Ya Shairi

PALIPO NA MTA—WA; PANAFURAHA (ii&iv FURAHA)

PANA FURAHA (ii&iv KWE-LI); PAWE FURAHA DA I MA   

Mashairi; (Sauti zote zinaimba)

1. SISI WA-TA-WA, TUNAPENDEZA

(II&IV KIMWILI) KWELE TWANG'AA,

(II&IV NA HIVYO) , SANA TUPE-NDEZE KIROHO.

2. MASHAURI YA I---NJILI, KWELI TUISHI

(II&IV AHADI), ZETU KWA MUNGU,

(II&IV NADHIRI), UTII, UFUKARA, USAFI.

3. TUJAE NA-FA-DHILA, MATUMAINI,

(II&IV NAPIA), NAO UPENDO

(II&IV NA TENA), IMANI- YETU NI KRISTU.

4. TUISHI NA KA-RAMA; KARAMA ZETU,

(II&IV TURUDI) KWENYE ASILI

(II&IV KA-MA) WALIVYO NUIA WAANZISHI.


Maoni - Toa Maoni

john kelvin luwela s.d.s Mar 17, 2018
Wimbo mzuri sana i wish niusikie ukiimbwa na kwaya

Toa Maoni yako hapa