Ingia / Jisajili

Roho Ndiyo Itiayo Uzima No.2

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 2,069 | Umetazamwa mara 5,173

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Roho ndiyo itiayo uzima mwili haufai kitu x2. Maneno haya niliyowaambia mimi ni Roho tena ni uzima x2.

Mashairi:

1. Sheria ya Bwan ani kamilifu, huiburudisha nafsi, ushuhuda wa Bwana ni amini, humtia mjinga hekima.

2. Maagizo yake ni ya adili, hufurahisha moyo, amri ya Bwana ni safi huyatia macho nuru.

3. Kicho chake Bwana kitakatifu, kinadumu milele, hukumu za Bwan ni kweli, zina haki zina haki.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa