Ingia / Jisajili

Shamba La Mizabibu La Bwana

Mtunzi: Noel Ng'itu
> Mfahamu Zaidi Noel Ng'itu
> Tazama Nyimbo nyingine za Noel Ng'itu

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 3,010 | Umetazamwa mara 7,775

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Shamba la mizabibu la Bwana shamba la mizabibu la Bwana shamba la mizabibu la Bwana ndilo nyumba ya Israeli x2

1.       Ulileta mzabibu mmoja kutoka nchi ya Misri ukawafukuza mataifa ukapanda mche wake

2.       Nao uliyaeneza matawi yake hata baharini na chipukizi vyake hata kunako mito ya maji

3.       Kwanini Ee Bwana umezibomoa kuta zake wapitao njiani wachuma matunda yake na haya wani wanauharibu

4.       Basi Ee Bwana wa majeshi tunakusihi urudi uutazame mche huu utuhuishe nasi tutaliitia Jina lako


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa