Ingia / Jisajili

Siku Ile Niliyokuita

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: JOSEPH RIMISHO

Umepakuliwa mara 1,751 | Umetazamwa mara 4,103

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Siku ile niliyokuita uliniitikia, ukanifariji nafsi yangu kwa kunitia nguvu.X2

Mashairi

1.Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, mbele ya miungu nitakuimbia zaburi, nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu.

2.Nitalishukuru jina lako,kwa ajili ya fadhili na uaminifu wako, kwa maana umekuza ahadi yako kuliko jina lako.

3.Bwana yuko juu amwona mwenye haki, naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali, nijapokwenda kati ya shida wewe utanihuisha.

4.Bwana atanitimiliza mambo yangu, ee Bwana fadhili zako ni za milele, usiziache kazi za mikono kazi za mikono yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa