Ingia / Jisajili

Toka Vilindini

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 674 | Umetazamwa mara 3,376

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Toka vilindini nalikulilia Mungu wangu, nalikulilia kwa saburi, nalikulilia kwa saburi Ee Mungu wangu nawe ukaniitikia.

Mashairi:

1.Ukakisikia kilio changu ukaniitikia nilipokulilia, ukaniitikia.

2. Nalikulilia sana, nalikulilia sana, nalikulilia kwa saburi, nalikulilia Mungu wangu, nawe ukanijibu nawe ukanijibu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa