Ingia / Jisajili

Tubuni Asema

Mtunzi: Abraham .o. Okiro
> Mfahamu Zaidi Abraham .o. Okiro
> Tazama Nyimbo nyingine za Abraham .o. Okiro

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Abraham Obwocha

Umepakuliwa mara 157 | Umetazamwa mara 1,308

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                            TUBUNI ASEMA

(Tubuni anasema Bwana wenu)X2 (kwa maana hamjui siku wala saa atakayekuja Bwana wenu)X2


1.Mtu angejua siku mwizi angekuja angekesha na kungoja mwizi hasiibe.
2.Ufalme wa mbinguni umekaribia kwani huyo ndiye alinenwa ya nabii Isaya
3Tengenezeni njia yake Bwana wa majeshi, yanyosheni na mapito yake Bwana apite.
4.Basi, jiangalieni, mioyoni mwenu isije ikalemewa na ulafi.
5.Basi kesheni mkiomba kila wakati, ili mpate kuokoka katika hayo.

 

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa