Ingia / Jisajili

Tumrudie Mungu

Mtunzi: Cpa M. B. Ngooh
> Mfahamu Zaidi Cpa M. B. Ngooh
> Tazama Nyimbo nyingine za Cpa M. B. Ngooh

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Melkior Ngooh

Umepakuliwa mara 234 | Umetazamwa mara 1,269

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Njooni na tusemezane (asemavyo Bwana) kwakuwa tuwakosefu, tumrudie Mungu tukikubali kutubu na kutii tutakula mema ya Ulimwengu X2

Mashairi

  1. Tutoe hukumu za haki, tuwatendee kwa wema na wepesi, wote wamtumainio Bwana.

  2. Tuachane na mienendo mibaya, tufuate njia iliyo njema, ituelekezayo malangoni pa Bwana.

  3. Kwa maana Mungu hadhihakiwi, kwa kuwa apandacho mtu, ndicho atakachovuna. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa