Ingia / Jisajili

Tunaleta Vipaji Kwako Ee Bwana

Mtunzi: Cpa M. B. Ngooh
> Mfahamu Zaidi Cpa M. B. Ngooh
> Tazama Nyimbo nyingine za Cpa M. B. Ngooh

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Melkior Ngooh

Umepakuliwa mara 626 | Umetazamwa mara 2,203

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio
Ee Mungu (Muumba wetu) tunaleta vipaji mbele yako pokea X2
Pokea sadaka yetu ikupendeze ee Bwana iwe

kama sadaka ile ya kuhani Melkisedeki X2

Mashairi

1. Ee Bwana mapaji tunayokutolea ni mazao ya shamba kazi za mikono yetu, pokea kwa moyo na utujalie baraka. 2. Ee bwana tunakutolea vipaji vyetu kwa moyo kulitukuza na kulienzi kulienzi jina lako, pokea na utujalie upendo. 3. Ee Bwana tunakutolea kwa uweza na ukuu wako, pokea mapaji ee Baba pokea pokea na utujalie amani. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa