Ingia / Jisajili

Tunamshukuru Mungu

Mtunzi: F. B. Mallya
> Tazama Nyimbo nyingine za F. B. Mallya

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: EXAVERY NGONYANI

Umepakuliwa mara 1,180 | Umetazamwa mara 4,152

Download Nota
Maneno ya wimbo

Tunamshukuru Mungu Baba mwenyewzi kwa kuwajalia Bwana John na mama yetu Anuciata kwa kutimiza leo jubilee ya miaka hamsini ya ndoa yao x2

Twasema asante ee Mungu Baba tunakushukuru asante Mngu wetu x2

Tarehe mbili mwezi wa kumi na mbili ya mwaka elfu moja mia tisa na sitini na moja walifunga ndoa na leo ndoa hio imetimiza miaka hamsini hivyo nasi sote tuungane nao tukiimba kwa furaha kucheza kwa maringo tuwaombee maisha iliyofanaka kwa Mungu Baba Mwenyezi na Mungu Mwana Mwokozi pia Roho Mtakatifu awatie nguvu yake ili ikiwezekana siku moja tukutne katika jubilee ya miaka sabini na tano twaomba ee Mungu Baba AMINA


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa