Ingia / Jisajili

Uniponye Roho Yangu

Mtunzi: Joseph D. Mkomagu
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph D. Mkomagu

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 7,736 | Umetazamwa mara 14,554

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uniponye roho yangu ee Bwana, kwa maana mimi nimekutenda dhambi x 2
Adui zangu wananisema kwa maneno mabaya, wanasema atakufa lini, jina lake likapotea x 2

1.      Heri amkumbukaye mnyonge, Bwana atamwokoa siku ya tatu, Bwana atamlinda na kumhifadhi hai, naye atafanikiwa katika nchi.

2.      Bwana atamtegemeza alipo mgonjwa kitandani, katika ugonjwa wake, umemtandikia, name nalisema Bwana unifadhili, uniponye roho yangu, maana nimekutenda dhambi.

3.      Nami katika ukamilifu wangu umenitegemeza, umeniweka mbele za uso wako milele,
na atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele amina amina.


Maoni - Toa Maoni

billisony Apr 08, 2018
nimeshindwa kuidownload so wimbo mzur na unaujumbe mzur kwa miaka yote coz nitaupataje

Titus Apr 08, 2017
Naomba mp3 ya wimbo huu yenye sauti

Samwel Aug 21, 2016
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Toa Maoni yako hapa