Ingia / Jisajili

Utuhurumie Ee Mungu

Mtunzi: Cpa M. B. Ngooh
> Mfahamu Zaidi Cpa M. B. Ngooh
> Tazama Nyimbo nyingine za Cpa M. B. Ngooh

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Misa

Umepakiwa na: Melkior Ngooh

Umepakuliwa mara 301 | Umetazamwa mara 1,789

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Ee Bwana (Mungu Mkuu) twaja mbele yako, twaja mbele yako jinsi tulivyo utuhurumie ee Bwana usiyahesabu makosa yetu kwani hatustahili kusimama mbele yako X2

Mashairi

1. Ee Bwana tumekutenda dhambi, hatufuati mafundisho yako, tunatembea katika njia isiyofaa. 2. Ee bwana utuhurumie tuachane na njia mbaya tukufuate wewe ulie njia ya kweli.
3. Ee bwana hakuna mwenye haki ukiyahesabu makosa yetu, ila kwako kuna msamaha bwana. 4. Ee bwana utusaidie tukutafute mapema Bwana, nyakati za ujana wetu tukukaribie Bwana. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa