Ingia / Jisajili

Uwe pamoja nami Bwana

Mtunzi: Dr. Charles N. Kasuka
> Mfahamu Zaidi Dr. Charles N. Kasuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. Charles N. Kasuka

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 321 | Umetazamwa mara 1,150

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uwe pamoja nami Ee Bwana, uwe pamoja nami katika Taabu zangu zote x2 {Nitasema Bwana ndiye kimbilio na Ngome yangu, Mungu wangu nitakaye mtumaini x2}.

1.Akatiye Mahahli pake pa Siri aliyejuu, nitasema Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu.

2.Mabaya hayatakupata wewe wla Tauini haitakaribia hema yako, kwa kuwa atakuagizia Malaika zake.

3.Mikononi mwao watakuchukua, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe, utawakanyaga Simba na Nyoka.

4.Kwa kuwa amekaza kunipenda, nitamwokoa na kumweka palipo juu kwa kuwa amejua  jina langu.

5.Ataniita nami nitamwitikia, nitakuwa pamoja naye taabuni, nitamwokoa na kumtukuza.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa