Ingia / Jisajili

Uwe Sitara

Mtunzi: Julius Anari
> Mfahamu Zaidi Julius Anari
> Tazama Nyimbo nyingine za Julius Anari

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Julius Anari

Umepakuliwa mara 155 | Umetazamwa mara 963

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana uwe sitara na nuru maishani mwangu. Maana wewe ndiye kinga na njia yangu milele. Utanihifadhi na mateso utanizungusha nyimbo, utanizungusha nyimbo nyimbo nyimbo za wokovu. Nitakufindisha na kukuonyesha njia 'takayoenda, nitakushauri jicho langu likikutazama. 

1. Heri aliyesamehewa dhambi na kusitiriwa makosa, heri Bwana asiyemhesania upotovu ambaye rohoni mwake hamna hila.

2. Nalikujulisha dhambi yangu na sikuuficha upotovu, nami nitayakiri maasi yangu kwake Bwana, anisamehe upotovu wa dhambi yangu.

3. Mfurahieni Bwana shangilieni enyi wenye haki , pigeni vigelegele vya furaha kwa pamoja, ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa