Ingia / Jisajili

Yesu Akamwambia Simoni

Mtunzi: Thomas P. Bingi
> Mfahamu Zaidi Thomas P. Bingi
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas P. Bingi

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Thomas Bingi

Umepakuliwa mara 473 | Umetazamwa mara 1,767

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Yesu akamwambia Simoni nifanyalo wewe hujui hujui sasa, lakini utalifahamu utalifahamu baadae.

Mashairi

1.Yesu aliondoka chakulani akaweka kando mavazi yake

  Akatwaa kitambaa akajifunga kiuno-ni.

2.Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi miguu

  Na kuwafuta kwa kile kitambaa alichojifu-nga.

3.Wafalme wa Dunia hutawala,Na wenye mamlaka juu yao huitwa wenye fadhili,

   Lakini kwenu ninyi sivyo, Bali aliye mkubwa kati yenu, na awe kama aliye mdo-go.

4.Nami nawawekea ninyi ufalme,kama vile baba yangu alivyo niwekea mimi,

   Ili mpate kula, na kunywa mezani pangu katika ufalme wa-ngu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa