Ingia / Jisajili

Basi Kwa Furaha Mtateka Maji

Mtunzi: Edmund C.sambaya
> Mfahamu Zaidi Edmund C.sambaya
> Tazama Nyimbo nyingine za Edmund C.sambaya

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Edmund Sambaya

Umepakuliwa mara 1,031 | Umetazamwa mara 3,590

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO: Basi kwa furaha mtateja maji X2, katika visima vya wokovu katika visima vya wokovu X2

MASHAIRI: 1.Tazama Bwana ndiye wokovu wangu nitamtumaini, sitaogopa maana Bwana ni nguvu na wimbo, wimbo wangu,

                     2. Katika Sayuni huko nitasema mshukuruni yeye, litajeni jina lake na yatangazeni matendo yake kwa mataifa.

                     3.Mwimbieni ametenda maakuu na yajuulikane, haya duniani zipazeni sauti na piga kelele binti sayuni.

                    


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa