Ingia / Jisajili

Ee Bwana Mungu Wetu Utuokoe

Mtunzi: Fr. Amadeus Kauki
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Amadeus Kauki

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Gervas Kombo

Umepakuliwa mara 8,711 | Umetazamwa mara 15,520

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana Mungu wetu utuokoe, utukusanye kwa kututoa katika mataifa, tulishukuru jina lako takatifu, tuzifanyie shangwe shangwe sifa zako x 2

1.      Asifiwe Mungu wetu, asotuacha kamwe katika makucha yao, watesi wetu nao wale wote wanao tukandamiza.

2.      Msifuni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa yeye ni mwema nazo fadhili zake, ni za milele na uaminifu wake wadumu milele.

3.      Ni nani anayeweza, kumsifu Mwenyezi Mungu kama astahilivyo, na kutaja matendo ya Mwenyezi Mungu kwani ni makuu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa