Ingia / Jisajili

Ee Bwana Utuonyeshe Rehema Zako

Mtunzi: Mmole G.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mmole G.

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Gereon Mmole

Umepakuliwa mara 1,050 | Umetazamwa mara 2,686

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ee Bwana utuonyeshe reehema zako utupe wokovu wako.X2 utupe wokovu wako, wokovu wako, utupe wokovu wako x2

Viimbilizi:

1. Na nisikie atakavyosema Mungu Bwana, maana atawaambia watu wake amani, hakika wokovu wake u karibu na wamchao,

    Utukufu ukae katika nchi yetu.

2. Fadhili na kweli zimekutana, haki na amani zimebusiana, kweli imechipuka katika nchi, haki imechungulia kutoka mbinguni.

3. Naam, Bwana atatoa kilicho chema, na nchi yetu itatoa mazao yake, haki itakwenda mbele zake,

    nayo itazifanya hatua zake kuwa njia.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa