Ingia / Jisajili

Maombi yangu yafike

Mtunzi: Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Mfahamu Zaidi Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Tazama Nyimbo nyingine za Christian Benedict Nkonya (Chribenko)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 583 | Umetazamwa mara 2,001

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Maombi yangu yafike mbele zako Ee BWANA, Uutegee ukelele wangu Ee BWANA, BWANA unisikie, mimi ni mja wako, nifike palipo na ahadi ya milele.

1:Maana nafsi yangu, imeshida taabu, na uhai wangu unakaribia kuzimu.

2:Nimehesabiwa, pamoja nao washukao shimoni wasio na msaada.

3:Miongo ni mwao, wale walokufa, nimetupwa na kulala hapa kaburini.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa