Ingia / Jisajili

Namna ya Kujiunga na Kundi la Fr. Kayeta

Nimepokea maswali wengi juu ya kujiunga na kundi la Fr. G. Kayeta. Natumaini maelezo haya yatasaidia wengi.

KAMA UPO FACEBOOK:

  • Login kwenye account yako ya Facebook kwa kwenda www.facebook.com
  • Juu kabisa, kwenye sehemu ya "Search", Andika > Fr. G.F. Kayeta
  • Click kwenye "result" ya kwanza ya "Search". Ukisha fungua ukurasa wa Fr. G.F. Kayeta, bonyeza join.


KAMA HAUPO FACEBOOK:

  • Fungua account yako Facebook kwa kwenda www.facebook.com
  • Baada ya kufungua account ya Facebook, fuata maelezo kama hapo juu.