Ingia / Jisajili

Audax Rweyemamu

Mfahamu Audax Rweyemamu, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Bukoba Parokia ya Kasherero

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Bukoba

Parokia anayofanya utume: Kasherero

Namba ya simu: 0716883848

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Mwalimu Audax Rweyemamu ni mtunzi mkongwe tangu mwaka 1990 akiwa katika Parokia ya Mt.Camilius Yombo, Mt.Anyesi Kibangu Dar es Salaam ambako alihudumu hadi mwaka mwaka 2016 ambako alirejea Bukoba hadi sasa.