Mfahamu Delvin Clement Chelemenge, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Jimbo katoliki la rulenge ngara Parokia ya Parokia ya mt.Fransisco wa Assizi ,Biharamulo
Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Jimbo katoliki la rulenge ngara
Parokia anayofanya utume: Parokia ya mt.Fransisco wa Assizi ,Biharamulo
Namba ya simu: 0775079245
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Ninaitwa DELVIN Clément Chelemenge ni mtanzania nimezaliwa mwaka 2009 kwa sasa mwaka 2026 nimemaliza elimu ya sekondari katika shule ya Mt.thomas more kibogora jimbo katoliki la kigoma mwaka 2025 na shule ya msingi nimesomea shule ya Bishop Huwiler chini ya shirika la watawa la Mt.Theresa wa mtoto Yesu mwaka 2021