Ingia / Jisajili

FADHILI MAYEMBELEKA

Mfahamu FADHILI MAYEMBELEKA, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la IRINGA Parokia ya ILULA

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: IRINGA

Parokia anayofanya utume: ILULA

Namba ya simu: 0768130739

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Fadhili Mayembeleka ni Mwalimu wa shule ya sekondari Mwashiku iliyopo TABORA WILAYA ya igunga pia ni Mwalimu wa muziki na mpiga kinanda.Alianza kujifunza muziki mwaka 2020 akiwa chini ya mwalimu Chelestino mnyipembe katika parokia ya ilula iliyopo Jimbo katoliki la IRINGA.Mpaka sasa ni Mwalimu wa muziki."Ninatamani Sana kufahamu zaidi muziki hasa katika kipengele cha music composition na Harmony pia katika kinanda kwani Bado najikongoja.Naomba walimu wakunwa tusaidiane katika kumtukuza mungu Kwa kuimba.Tumwimbie Bwana katika roho na kweli,Amina