Ingia / Jisajili

Frt. Victor Lyimo

Mfahamu Frt. Victor Lyimo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Moshi Parokia ya Reha

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Moshi

Parokia anayofanya utume: Reha

Namba ya simu: +255767133752

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Victor M. Lyimo (Victor B. Lucky) Ni Frater wa shirika la Mitume wa Yesu (Apostles of Jesus), Nairobi - Kenya

Safari na Ndoto za Muziki mtakatifu zilianza Mwaka 2018, kwa usaidizi wa Fr. Alderman Mtui AJ, ndani ya Seminary ndogo ya Mitume wa Yesu (Uru Seminary) iliyopo  Moshi - Kilimanjaro.

Masomo ya Utunzi wa muziki Mtakatifu na Falsafa niliyapatia ndani ya shirika la mitume wa Yesu, Nairobi - Kenya, kwa uongozi wa Rev. Dr. Fr. Petri Assenga AJ.