Ingia / Jisajili

I.J.Simfukwe

Mfahamu I.J.Simfukwe, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbeya Parokia ya Kamsamba

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 101 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Mbeya

Parokia anayofanya utume: Kamsamba

Namba ya simu: 0754778866

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

I.J.SIMFUKWE (ISAYA JOSEPH SIMFUKWE) alizaliwa tarehe 13/10/1994 katika parokia ya kamsamba. alihitimu elimu ya shule ya msingi katika shule ya msingi kamsamba mwaka 2007. alihitimu elimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondary ILASI iliyopo vwawa mjini mbozi mwaka 2012. Alihitimu kidato cha sita mwaka 2015 katika shule ya sekondari UMBWE iliyopo Kibosho Moshi. Alihitimu shahada ya maabara katika chuo kikuu cha bugando kilichopo mwanza. huko mwanza ndiko alikojifunza muziki wa nota ambapo alifundishwa kuimba nota na EGDIUS SIMFUKWE na kisha uandishi na utunzi wa nyimbo za nota na ERIC KESSY na baadae Akafundishwa na F.E.NYANZA