Ingia / Jisajili

Johnstone sebastian

Mfahamu Johnstone sebastian, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbeya Parokia ya Igogwe

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 6 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Mbeya

Parokia anayofanya utume: Igogwe

Namba ya simu: 0743537423

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Mwl Johnstone sebastian ni mwalimu wa shule ya sekondari ambaye ameanza kazi ya kuimba kwaya mwaka 2007 akiwa mwimbaji wa sauti ya tatu, nimeanza safari yangu ya kujifunza muziki mwaka 2013 kwa sasa ni mtunzi wa nyimbo kanisa katoliki na mpiga kinanda, napenda kumtumikia Mungu kwa njia hii.