Ingia / Jisajili

Nsolo S. Stephen

Mfahamu Nsolo S. Stephen, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Shinyanga Parokia ya Buhangija

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 11 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Shinyanga

Parokia anayofanya utume: Buhangija

Namba ya simu: 0757486861

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Mwalimu Mstaafu, Ubatizo 22/09/1954 Ndala, Tabora, Komunio, Ndala, Tabora 27.06.1962, Kipaimara 29.06.1962 Ndala, Tabora *Mafunzo ya Ualimu wa Muziki katika Chuo cha Ualimu Butimba 1993 - 1995