Ingia / Jisajili

Paschal T. Mbehor

Mfahamu Paschal T. Mbehor, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Moshi Parokia ya Utatu Mtakatifu Sanya Juu

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Moshi

Parokia anayofanya utume: Utatu Mtakatifu Sanya Juu

Namba ya simu: 0762839642

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Mwalimu Paschal Theophil Mbehor ni Mtunzi na Mcheza Kinanda kutoka Kwaya ya Mtakatifu Cecilia, Parokia ya Utatu Mtakatifu Sanya Juu, Jimbo Katoliki Moshi