Ingia / Jisajili

Philipo Baseke

Mfahamu Philipo Baseke, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Moshi Parokia ya Utatu Mtakatifu Sanya Juu

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Moshi

Parokia anayofanya utume: Utatu Mtakatifu Sanya Juu

Namba ya simu: 0744 452 549

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Mwl Baseke ni Mwalimu kutoka Kwaya ya Mtakatifu Cecilia ni Mtunzi na Mcheza kinanda, Parokia ya Utatu Mtakatifu Sanya Juu ilioyopo Jimbo Katoliki Moshi