Ingia / Jisajili

Sylvester Kamanda

Mfahamu Sylvester Kamanda, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Kisii Kenya Parokia ya St. Camillis Nyamarambe Parish

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Kisii Kenya

Parokia anayofanya utume: St. Camillis Nyamarambe Parish

Namba ya simu: +254704741108 au +254718953789

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Silvester Kamanda ni mtoto wa mzee Simeon Abuya na Cleaenciah Nyansiaboka Alizaliwa Kwenye familia yenye idadi ya watoto nane nikiwa wa pili Kwa Kwa kuzaliwa. Ana mke mmoja (Betty) na watoto watatu sasa (Nicole, Gregory na Hillary Kretas) Ni mwalimu wa chuo kikuu Cha Kisii (Part time Lecturer)