Ingia / Jisajili

Aloys Ngomeni

Mfahamu Aloys Ngomeni, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la GEITA Parokia ya Kalebezo

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: GEITA

Parokia anayofanya utume: Kalebezo

Namba ya simu: 0766490934

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Aloys Lucas Ngomeni ni mwl wa kwaya Mt. Therezia wa Mtoto Yesu katika Kigango cha Bukokwa Parokia ya Kalebejo Jimbo katoliki la Geita.