Ingia / Jisajili

Benjamin O. Mwabusila

Mfahamu Benjamin O. Mwabusila, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Musoma Parokia ya Butiama

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Musoma

Parokia anayofanya utume: Butiama

Namba ya simu: 0762774049

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Ni Mkristo Mkatoliki, Nimeoa, Mwalimu wa Kwaya Katika Parokia ya Butiama, Mfamasia katika Wilaya ya Butiama, Mratibu wa Bima ya Afya NHIF wilaya ya Butiama na Pia Katibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Butiama.