Ingia / Jisajili

Boniphase Ntalyoka

Mfahamu Boniphase Ntalyoka, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dar es salaam Parokia ya Mtakatifu Monika Kilungule

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 19 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dar es salaam

Parokia anayofanya utume: Mtakatifu Monika Kilungule

Namba ya simu: 0757464696

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Ni mwalimu na muimbaji wa sauti ya tatu katika kwaya ya Mtakatifu Anthony wa Padua parokia ya Mtakatifu Monika Kilungule Jimbo katoliki la Dar es salaam