Mfahamu Daniel Michael Umbe, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Shinyanga Parokia ya Mt. Bhakita
Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Shinyanga
Parokia anayofanya utume: Mt. Bhakita
Namba ya simu: 0718939387
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Nimejifunza Muziki Kwa mwlm Clement Msungu na baadaye mwlm. FB.Malya DSM nikawa mwalm ktk Kwa Mt.Fransisco wa asizi Manzese, Mt Rita wa Kashia kimara baruti,Mt.Fransisco wa asizi Dutwa na Sasa nafundisha kwaya ya Mt maria Magdalena Gambosi kigangoni katika parokia ya Mt Bhakita Jimbo la Shinyanga Kwaya nilizoimbia 1.TYCS Mt Monica Bassotu parish 2.St. Francis Bassotu parish 3.Mashahidi wa Uganda vikindu Tc .St Vincent parish 4.St Francis wa Asizi Manzese Parish 5.St Rita wa Kashia kimara baruti 6.St Francis wa asizi Dutwa K