Mfahamu Frt. Victor Lyimo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Moshi Parokia ya Reha
Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Moshi
Parokia anayofanya utume: Reha
Namba ya simu: +255767133752
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Victor M. Lyimo (Victor B. Lucky) Ni Frater wa shirika la Mitume wa Yesu (Apostles of Jesus), Nairobi - Kenya
Safari na Ndoto za Muziki mtakatifu zilianza Mwaka 2018, kwa usaidizi wa Fr. Alderman Mtui AJ, ndani ya Seminary ndogo ya Mitume wa Yesu (Uru Seminary) iliyopo Moshi - Kilimanjaro.
Masomo ya Utunzi wa muziki Mtakatifu na Falsafa niliyapatia ndani ya shirika la mitume wa Yesu, Nairobi - Kenya, kwa uongozi wa Rev. Dr. Fr. Petri Assenga AJ.