Ingia / Jisajili

Joseph Mgallah

Mfahamu Joseph Mgallah, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbeya Parokia ya Chombe

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 334 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Mbeya

Parokia anayofanya utume: Chombe

Namba ya simu: 0763150165

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Mwalimu Joseph MGALLAH ni mzaliwa wa Simba wanga mkoani Rukwa, amesoma mkoani humo kuanzia elimu ya msingi hadi Kidato cha Sita na baadaye kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa sasa anafundisha shule ya msingi ILALANGULU iliyopo Halmashauri ya wilaya ya MPIMBWE mkoani Katavi na kufanya tume wa UIMBAJI huko.