Mfahamu Josephat N. Hindoy, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la JIMBO LA MBULU Parokia ya MEASKRON
Idadi ya nyimbo SMN: 1 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: JIMBO LA MBULU
Parokia anayofanya utume: MEASKRON
Namba ya simu: 0754911240
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Josephat N. Hindoy ni mzaliwa wa parokia ya Measkron jimbo la MBULU anayehudumu kwa sasa katika Parokia ya KRISTO MFALME kanisa la moyo mtakatifu wa YESU Jimbo la Sumbawanga. Mtunzi yuko kikazi Sumbawanga regional refferal hospital kama AFisa muuguzi.