Mfahamu Mac Alpha, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Jimbo la Nakuru [CDN] Parokia ya HOLY CROSS SHABAAB PARISH & CHRIST THE KING CATHEDRAL NAKURU
Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Jimbo la Nakuru [CDN]
Parokia anayofanya utume: HOLY CROSS SHABAAB PARISH & CHRIST THE KING CATHEDRAL NAKURU
Namba ya simu: 0716399730
Soma Historia na maelezo yake hapaWasiliana na mtunzi kwa email:
Mzaliwa wa Kaunti ya Nyamira parokia ya Mtakatifu Yusufu Nyamira Jimbo la KISII
Mwalimu wa kwaya, mtitibu na mcheza kinanda katika Kanisa la Christ the King cathedral Nakuru na Holy cross Shabaab Parish