Mfahamu THADEO WAMPEMBE, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la IRINGA Parokia ya BIKIRA MARIA MPALIZWA MBINGUNI MKWAWA
Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: IRINGA
Parokia anayofanya utume: BIKIRA MARIA MPALIZWA MBINGUNI MKWAWA
Namba ya simu: 0763522939
Soma Historia na maelezo yake hapaMwalimu thadeo francis wampembe ni mwalimu na muimbaji wa sauti ya tatu ambaye yeye ni zao halisi la mwl Dalmatius P.G.F kwa sasa ni mwalimu anayeendelea kujifunza muziki kila siku