Ingia / Jisajili

THADEO WAMPEMBE

Mfahamu THADEO WAMPEMBE, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la IRINGA Parokia ya BIKIRA MARIA MPALIZWA MBINGUNI MKWAWA

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: IRINGA

Parokia anayofanya utume: BIKIRA MARIA MPALIZWA MBINGUNI MKWAWA

Namba ya simu: 0763522939

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Mwalimu thadeo francis wampembe ni mwalimu na muimbaji wa sauti ya tatu ambaye yeye ni zao halisi la mwl Dalmatius P.G.F kwa sasa ni mwalimu anayeendelea kujifunza muziki kila siku