Ingia / Jisajili

Bwana Alitutendea Mambo Makuu

Mtunzi: M.p. Makingi
> Mfahamu Zaidi M.p. Makingi
> Tazama Nyimbo nyingine za M.p. Makingi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Michael Makingi

Umepakuliwa mara 209 | Umetazamwa mara 892

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Bwana alitutendea Mambo makuu tulikuwa tukifurahi.x2.(1)Bwana alipowarejeza mateka wa sayuni tulikuwa Kama waota ndoto ndipo kinywa chetu kilipo jaa kicheko .na ulimi wetu kelele za_furaha.(2).Ndipo mataifa walipo sema Bwana ametenda tendamambo makuu.Bwana amewate ndea Mambo makuu tulikuwa tukifurahi.(3) Ee Bwana uwarejeze watu wetu waliofungwa Kama vijito ya kusini wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.(4).Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu zaku panda hakika atarudi kwa kelele zafuraha aichukuapo miganda take .

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa