Ingia / Jisajili

Asifiwe Mungu Baba

Mtunzi:
> Tazama Nyimbo nyingine za

Makundi Nyimbo: Utatu Mtakatifu

Umepakiwa na: Edward Challe

Umepakuliwa mara 4,809 | Umetazamwa mara 10,016

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Asifiwe Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu x2
Kwa sababu ametufanyizia huruma yake x2

Shairi

1. Mungu mmoja nafsi tatu yaani baba mwana na roho (roho) mtakatifu x2

2.Mungu baba ni muumbaji wa vitu vyote ndani ya nafsi(nafsi) nafsi tatu x2

3.Mungu mwana ni mkombozi wa dhambi zote za sisi watu (watu) duniani x2

4. Mungu roho mtakatifu ni mfariji hutoa mapaji (yote) duniani x2.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa