Mtunzi: Emanuel Ndee
                                         
 > Tazama Nyimbo nyingine za Emanuel Ndee                 
Makundi Nyimbo: Noeli
Umepakiwa na: Michael Shija
Umepakuliwa mara 2,261 | Umetazamwa mara 4,678
Download Nota Download MidiKIITIKIO.
Bwana aliniambia ndiwe mwanangu mimi leo, mimi leo nimekuzaa leo nimekuzaa leox2
	MASHAIRI
	1. Wafalme wa dunia wanajipanga na wakuu, Wanafanya shauri pamoja juu
	juu ya masihi wake
	
	2. Yeye aketiye mbinguni anacheka anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka
	dhihaka hao wafalme.
	
	3. Atukuzwe Baba na Mwana naye Roho Mtakatifu, Kama mwanzo na sasa na
	milele milele na milele.