Ingia / Jisajili

Bwana alitutendea

Mtunzi: Eleuter Kihwele
> Mfahamu Zaidi Eleuter Kihwele
> Tazama Nyimbo nyingine za Eleuter Kihwele

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: ELEUTER KIHWELE

Umepakuliwa mara 220 | Umetazamwa mara 1,424

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Bwana alitutendea mambo makuu, tulikuwa tukifurahi

Mashairi:

1.  Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto, ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko na ulimi wetu kwa shangwe na kelele za furaha

2.  Ee Bwana uwareje watu wetu waliofungwa, kama vijito vya kusini wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha

3.  Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu za kupanda hakika atarudi kwa kelele za furaha


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa