Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma

Mtunzi: Musa U. Lubeleli
> Mfahamu Zaidi Musa U. Lubeleli
> Tazama Nyimbo nyingine za Musa U. Lubeleli

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Antony Chacha

Umepakuliwa mara 727 | Umetazamwa mara 2,449

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana amejaa huruma Bwana amejaa Huruma Bwana amejaa (amejaa) Bwana amejaa Huruma na Neema

1. Ee nafsi yangu umuhimidi Bwana Mungu Naam na vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lako takatifu.

2. Akusamehe na- maovu yako yote na akuponye na magonjwa yako yote aukomboa uhai wako na kaburi.

3. Bwana amejaa Huruma na Neema wala haoni Hasira upesi Bwana naye ni mwingi naye ni mwingi wa Fadhili.

4. Kama Mashariki ilivyo mbali sana na Magharibi ndivyo alivyoziweka Dhambi zetu mbali sana na sisi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa