Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma Na Neema

Mtunzi: Fr. Kulwa G. Paul
> Mfahamu Zaidi Fr. Kulwa G. Paul
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Kulwa G. Paul

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: KULWA GEORGE

Umepakuliwa mara 1,828 | Umetazamwa mara 4,647

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana amejaa huruma na neema, amejaa huruma na neema x2

1. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana; Naam, vyote vilivyo ndani yangu, vilihimidi jana lake taka-tifu.

2. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana; Naam, wala usizisahau, usizisahau fadhili zake zote.

3. Ndiye asameehaye maovu yote; akuponya na magonjwa yote, anayekuponya magonjwa yako yote.

4. Bwana hahesabu hatia zetu; wala halipishi dhambi zetu, si mwepesi wa hasira, mwingi wa fadhili.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa