Ingia / Jisajili

Bwana Anakuja Awahukumu

Mtunzi: Frt. Zacharia Nyembeke Cpps
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. Zacharia Nyembeke Cpps

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Zacharia Nyembeke

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 33 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA ANAKUJA AWAHUKUMU

Kiitikio: Bwana anakuja awahukumu, (//awahukumu mataifa kwa haki, awahukumu mataifa kwa haki*2)

1. Mwimbieni Bwana Zaburi kwa kinubi, Kwa panda na sauti ya baragumu, shangilieni mbele za Mfalme Bwana.

2. Bahari na ivume na Vyote, na Vyote viijazavyo, Ulimwengu nao wanaokaa ndani yake, mito na ipige makofi, milima na iimbe kwa furaha mbele za Bwana

3. Kwa maana Bwana anakuja aihukumu nchi, atauhukumu ulimwengu kwa haki, na mataifa, kwa adili.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa