Ingia / Jisajili

Bwana Haangalii Kama Binadamu

Mtunzi: Maguzu,p. S
> Mfahamu Zaidi Maguzu,p. S
> Tazama Nyimbo nyingine za Maguzu,p. S

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Alpha Claudius

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA HAANGALII KAMA BINADAMU

Bwana Mungu Haangalii kama Binadamu aangaliavyo x2 Maana wanadamu hutazama hutazama sura ya nje, bali Bwana Mungu huutazama moyo x2

Mabeti

1. Hakika Mungu huwahukumu watu kulingana na matendo yao, haangalii sura wala mwonekano wa mtu.

2. Waweza kufanya mema mengi, yaliyo mazuri kwa mwonekano wa nje, lakini kama moyo wako umejaa ubatili ni bure.

3. Basi tuishi maisha mema yenye unyenyekevu pasipo kujikweza, nafasi yetu Mungu pekee ndiyo alijua.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa