Ingia / Jisajili

Ee Baba Mikononi Mwako

Mtunzi: J. Kasindi
> Tazama Nyimbo nyingine za J. Kasindi

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Vitus Tondelo

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Ijumaa Kuu

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu

BETI

1. Nimekukimbilia wewe , Bwana, Nisiabike milele. Kwa haki yako uniponye, Mikononi mwako naiweka roho yangu, Umenikomboa, Ee Bwana, Mungu wa kweli.

2. Kwa sababu ya watesi wangu nimekuwa laumu, Naam, hasa kwa jirani zangu; Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu; Walioniona njiani walinikimbia.

3. Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa; Nimekuwa kama chombo kilichovunjika. Maana nimesikia masingizio ya wengi. Hofu ziko pande zote.

4. Lakini mimi nakutumaini wewe, Bwana, Nimesema, wewe ndiwe Mungu wangu. Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa